Goheki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 448
- 387
Katibu wa Itikatdi na Uenezi wa CCM.
Nape, kaongea kwenye taarifa ya habari TBC1, anasema sababu iliofanya watu wachache kujitokeza kupiga kura kwenye jimbo la Igunga, watu walihofiwa kumwagiwa Tindikali.
SOURCE: TBC1 HABARI
Naye pia aliogopa??