Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Wakati mwingine inanipa shida kuamini mtu anaetetea uhalali wa CCM kama ana akili timamu. Nadhani wenye akili timamu walioko CCM wanakaa kimya tu. Hawa wanokuja hapa kuipa credit CCM, aidha wanakuja hapa wakitokea kwenye chibuku au kwenye bangi au kubwia unga, kiasi kwamba kwa ulevi walionao vichwani wanajiona wako Ulaya vile.
Umenigusa sana. Mungu akubariki sana.