Az 89
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,658
- 691
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......
lete vithibitisho haraka Nape maana inasemekana una kadi ya CCJ Afu ya Magamba hauna! Ni kweli hilo bwana Gamba?