Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......
Labda akifika nyumbani, Changanyikeni atachapa moja hapa. Kaza moyo Nape, ikifa nenda chama chako.
hivi hii tabia ya kucheka cheka hovyo wewe na mwenyekiti wako..huwa mnaimanisha nini...
Atoe uthibitisho kuwa ni uongo...Uongo ukisemwa sana ........watu huamini ni kweli!!!