Nyani Bishoo
JF-Expert Member
- Jul 7, 2023
- 346
- 559
Huu utabiri wangu acha tu nisiutoe Maana walia kulamba Miguu na Teuzi wataanza kulalama hapa
Amepwaya Sana Hatoshi KabisaIla Mh. Nape! Dah.........ngoja niishie hapa.
Ndiyo Maana Jiwe Alimfuta KaziWaziri mbovu kabisa kuwahi kupata kutokea nchi hii!
Sahihi.Basi Rais ana Kazi Kubwa ya kuwaongoza Mawaziri
Nape hakujua kama yy ni waziri na hana sababu ya kujibizana na watu mitandaoni na kama Rais ndiye aliyemkataza basi Rais kwa katazo hilo alikuwa anamwambia Nape huna Akili.Waziri gani poyoyo unabishana na watu mitandaoni bila kushtuka na bado ni waziri.Nchi inalewa wapumbavu tu.yaan mpaka akwambie ww huna Akili kabisa ya kuwaza.WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Rais Samia Suluhu Hassan alimsihi kuacha kujibizana na watu mitandaoni na badala yake asimamie falsafa ya R4.
Nape ameyasema hayo leo Machi 27, 2024 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika kilele cha kurasa 365 za Mama zikiangazia mafanikio ya Rais Samia tangu alipoingia madarakani Machi 19, 2021.
Nape amesema mara kadhaa Rais Samia huchafuliwa lakini amekuwa kimya huku asisitiza yasichukuliwe maamuzi yatayowadhuru raia wengine.
“Kuna wakati fulani, kuna jamaa fulani walimshambulia sana Rais na familia yake kwenye mitandano, huku ndani wakaanza kusema sasa waziri tunafanyaje? Mjadala ukawa mkubwa tuwachukulie hatua, tena kali! Tukasema kwa hawa au kwa jukwaa lote lililotumika?”
“Lakini wakati majadiliano yakiendelea, habari zilivuja na kumfikia Rais Samia ambaye aliamua kuniita na kuniambia nataka utatue jambo hili kwa busara,” amesema Nape na kuongeza
“Mama akaniita bana, akaniambia Nape…nimesikia mnajadiliana, lakini naomba nikukumbushe, nilitangaza 4R, mojawapo ni kuvumiliana, akasema hata kama mnataka kufanya lolote, hakikisheni hamuingilii uhuru wa watu kujieleza,” amesema
R4 za Rais Samia ni maridhiano, ustahimilivu, mageuzi na kujenga taifa.
Yeye na yule mwingine ni virusi!Ndiyo Maana Jiwe Alimfuta Kazi
Kuna tweet yake fulani alimwambia mwananchi "acha usng😂😂" aseme ukweli hii labda ndio ilifanya Rais akamkanya.WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Rais Samia Suluhu Hassan alimsihi kuacha kujibizana na watu mitandaoni na badala yake asimamie falsafa ya R4.
Nape ameyasema hayo leo Machi 27, 2024 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, katika kilele cha kurasa 365 za Mama zikiangazia mafanikio ya Rais Samia tangu alipoingia madarakani Machi 19, 2021.
Nape amesema mara kadhaa Rais Samia huchafuliwa lakini amekuwa kimya huku asisitiza yasichukuliwe maamuzi yatayowadhuru raia wengine.
“Kuna wakati fulani, kuna jamaa fulani walimshambulia sana Rais na familia yake kwenye mitandano, huku ndani wakaanza kusema sasa waziri tunafanyaje? Mjadala ukawa mkubwa tuwachukulie hatua, tena kali! Tukasema kwa hawa au kwa jukwaa lote lililotumika?”
“Lakini wakati majadiliano yakiendelea, habari zilivuja na kumfikia Rais Samia ambaye aliamua kuniita na kuniambia nataka utatue jambo hili kwa busara,” amesema Nape na kuongeza
“Mama akaniita bana, akaniambia Nape…nimesikia mnajadiliana, lakini naomba nikukumbushe, nilitangaza 4R, mojawapo ni kuvumiliana, akasema hata kama mnataka kufanya lolote, hakikisheni hamuingilii uhuru wa watu kujieleza,” amesema
R4 za Rais Samia ni maridhiano, ustahimilivu, mageuzi na kujenga taifa.
View attachment 2946314
Ashukuriwe Mh. Samia kwa kumfunga speed governor huyu Mh. Waziri nape. Heko mama SamiaNape alikuwa mtukanaji sana huku mitandaoniView attachment 2946218
Hakika.Basi Rais ana Kazi Kubwa ya kuwaongoza Mawaziri 🐼
Ukiteuwa watu kama Nape kuwa mawaziri lazima tu ukubali kuwaongoza 😆😆Basi Rais ana Kazi Kubwa ya kuwaongoza Mawaziri 🐼