Nape Nnauye na ushindi wa Panzi

kalooo

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
270
154
Katika watu Ambao Wengi tunawakumbuka Kwa Masuala ya Uchaguzi Ni Ndugu Nape Moses Mnauye.

Wengi akitajwa Hukumbuka Nyakati za Goli la mkono Katika Mbingu ya nne Kama si Mlango wa Nne uliojaa ubinadamu kwa ukaribu Kama Kumtambua Chui jike Wa kirimanjaro Binti Yake Majaliwa na Bwana dubu muenzi wa mila za kale kupitiliza na Majivuno Ya Kusadikika ya Bwana Shabani Robert,Umakini Fulani Wa kujua Wakati U Nahitaji Nini mpaka kuweka Watu Kila Kona na Kuwa Mshauri wa Mingongano ya Maneno Na Nguvu Kwa Afrika,Kama ilivyokuwa Daniel11 kuiendea hiyo Milango Saba ya Dar Eslaam palipo na Surat Hijr kwa kusema Tunaitwa humo sisi wa nje na Mipaka Ni pa Salama na Amani kwa Wachamungu hasa Afika ya Second Chimurenga ya Bwana Mkapa aliyepaa mbingu ya Tatu Katika Nchi itegemewayo ielee Kutazamwa na Watu Wote.

Nape Huyu Kama Mbora hivi,et Wapo wanaharakati tunaoelewana Nao na Kusikiliza akimjibu M.M.M mwamba wa mtandao Fulani ndani ya nchi.Na hii Ni nzuri Maana Kazi ya Shabani Robert inadai kuwa Ni Heri Upigane Vita vya Nasaha na Ukweli maana Amani itakayokuja kupatikana si ya kisasi Bali Marejeo ya Mda mrefu mpaka happy itakapoonekana na kukubaliana kwingine na watunzi wa Amani hii,Ni Amani ya Dunia.

Amani hii ishakwisha kuwepo Enzi za Melkizedeki Mda huo Ibrahimu anatoa moja ya kumi Kama rejea ya Waebrania 7 hivi leo 2025.

Mda una Tabia ya kufuatwa,Nauonaga Uko busy Sana lakini Ukiona Goli la mkono na Misemo Adimu ya Watu Wa kusini Usifikiri wanadai Korosho za Mtwara,Bali bahari imetulia Mda huo Maana Mungu katuamlia Ugomvi ama siyo Chukizo la Mambo labda yaharibike Sana hivi Sasa na hapo Badae ndipo Jabir Salama ajibiwe Mimi Ni Mwanasiasa Sina aibu kwa Watu ila ukweli tunaongozwa kwa Kanuni Moja na Mungu Ni ile haya ya Uso wa Uongozi na ulimi wa ukalimu Huku tukiziheshimu Saba Za nguvu Katika Nchi yenye majirani 6 ndani ya Mhusika duara ama mviringo Huyo future leader Kama Asemavyo Mkapa Katika second Chimurenga.

Yesu Ni Mshauri wa Ajabu,Na Ajabu Ni Hii,Roho atuongozaye Ni Mmoja kwa Mungu mmoja kwa Afika Moja kwa Rangi tofauti ndani Ya mji Mmoja kuiendea Amani Ya milele.

Amani ya Milele Ni hii,Kumjua Mungu na Mapenzi Yake,Awe TEC awe BAKWATA,Mimi au Wewe tujue Kizazi chetu hasa Cha Tisini kinahitaji kujitoa ili kimjibu Nape Vizuri Kwa Panzi wake aliyemkata mapingili ya Kichwa,Kifua na Tumbo hasa Katika kuangalia Kama Tunahitaji Katiba mpya au Mwelekeo Sahihi wa kujitambua sisi Tumepewa Dhamana ya upatanisho Kama Asemavyo Fransisco Huko Sudani na Kongo kwa Ushahidi wa Mtec Ndugu Kitima kuwa tuna Mambo yetu na hatutaki Mwingine Ajue,Yaani Yale Yale ya Roma mkatoliki,Mimi Ni Nani Kama 2002 nilimuua baba Yake Roma.

Ni Kazi Sana ila kubashiri Leo kupo ili ule mkeka na Mkeka Ni huu,Ipo 33 kichwa ,Kitua34 na 35 ama siyo 36.

Mwanangu Ommy wa Kubeti anasema Katika Miaka ya Kuanzia 2012 alipoambiwa na Roma familia ikikata Ringi mtunze Mama yako ipo 2025-1991 utapata 34 na hiyo 33 mwamba Wa upanga yaani sikuja kuleta Amani Duniani ila Upanga na Upanga umeshasimama nao Ni huu, Mtakapoliona chukizo la Uharibifu Alilolinena Daniel limekaa Mahala pake Basi hapo ndipo mtamwona Mwanaudongo akija kutoka Mawinguni ama siyo Mashariki ya 6 na Kuthibitishwa na Vatican kuwepo hizo siku 2300 na kuitafta nyongeza ya Siku 1290 ili kuikabili utashi wa Kijana Mahususi na Msiri Huyo wa Ngoja Kwanza usifany Hivo kitenge leo Dubai Mtaa wa Bastola nakuzungumzia wew uliyeuleta ama huu mkeka.

Nimeiona Mahala pako 35 Basi Muungano Ni Muhimu hasa 2wakorinto12.

Ndo hayo ya Panzi wa Nape,Aje anipe Marks Zangu maana baada ya majuma 62 nilionekana Kama sikuomba hayo majuma Saba.

Nimekumbuka Kitu Kongo na Sudani ya Fransisco hiyo baada ya Chadema Mwanza. Nitawaambia Hilo Juma moja lijalo Kama litajumlishwa na hayo Basi Tena,Asiyejifunza Hapa maana Aliyetaka Aongezewe Mda Bungeni Kafanyeje?

TANZANIA,TANZANIA
Siasa yako na Desturi
Imetuletea Uhuru
Nilalapo Nakuota wewe
Niamkapo Ni Heri mama we.
 
Katika watu Ambao Wengi tunawakumbuka Kwa Masuala ya Uchaguzi Ni Ndugu Nape Moses Mnauye.

Wengi akitajwa Hukumbuka Nyakati za Goli la mkono Katika Mbingu ya nne Kama si Mlango wa Nne uliojaa ubinadamu kwa ukaribu Kama Kumtambua Chui jike Wa kirimanjaro Binti Yake Majaliwa na Bwana dubu muenzi wa mila za kale kupitiliza na Majivuno Ya Kusadikika ya Bwana Shabani Robert,Umakini Fulani Wa kujua Wakati U Nahitaji Nini mpaka kuweka Watu Kila Kona na Kuwa Mshauri wa Mingongano ya Maneno Na Nguvu Kwa Afrika,Kama ilivyokuwa Daniel11 kuiendea hiyo Milango Saba ya Dar Eslaam palipo na Surat Hijr kwa kusema Tunaitwa humo sisi wa nje na Mipaka Ni pa Salama na Amani kwa Wachamungu hasa Afika ya Second Chimurenga ya Bwana Mkapa aliyepaa mbingu ya Tatu Katika Nchi itegemewayo ielee Kutazamwa na Watu Wote.

Nape Huyu Kama Mbora hivi,et Wapo wanaharakati tunaoelewana Nao na Kusikiliza akimjibu M.M.M mwamba wa mtandao Fulani ndani ya nchi.Na hii Ni nzuri Maana Kazi ya Shabani Robert inadai kuwa Ni Heri Upigane Vita vya Nasaha na Ukweli maana Amani itakayokuja kupatikana si ya kisasi Bali Marejeo ya Mda mrefu mpaka happy itakapoonekana na kukubaliana kwingine na watunzi wa Amani hii,Ni Amani ya Dunia.

Amani hii ishakwisha kuwepo Enzi za Melkizedeki Mda huo Ibrahimu anatoa moja ya kumi Kama rejea ya Waebrania 7 hivi leo 2025.

Mda una Tabia ya kufuatwa,Nauonaga Uko busy Sana lakini Ukiona Goli la mkono na Misemo Adimu ya Watu Wa kusini Usifikiri wanadai Korosho za Mtwara,Bali bahari imetulia Mda huo Maana Mungu katuamlia Ugomvi ama siyo Chukizo la Mambo labda yaharibike Sana hivi Sasa na hapo Badae ndipo Jabir Salama ajibiwe Mimi Ni Mwanasiasa Sina aibu kwa Watu ila ukweli tunaongozwa kwa Kanuni Moja na Mungu Ni ile haya ya Uso wa Uongozi na ulimi wa ukalimu Huku tukiziheshimu Saba Za nguvu Katika Nchi yenye majirani 6 ndani ya Mhusika duara ama mviringo Huyo future leader Kama Asemavyo Mkapa Katika second Chimurenga.

Yesu Ni Mshauri wa Ajabu,Na Ajabu Ni Hii,Roho atuongozaye Ni Mmoja kwa Mungu mmoja kwa Afika Moja kwa Rangi tofauti ndani Ya mji Mmoja kuiendea Amani Ya milele.

Amani ya Milele Ni hii,Kumjua Mungu na Mapenzi Yake,Awe TEC awe BAKWATA,Mimi au Wewe tujue Kizazi chetu hasa Cha Tisini kinahitaji kujitoa ili kimjibu Nape Vizuri Kwa Panzi wake aliyemkata mapingili ya Kichwa,Kifua na Tumbo hasa Katika kuangalia Kama Tunahitaji Katiba mpya au Mwelekeo Sahihi wa kujitambua sisi Tumepewa Dhamana ya upatanisho Kama Asemavyo Fransisco Huko Sudani na Kongo kwa Ushahidi wa Mtec Ndugu Kitima kuwa tuna Mambo yetu na hatutaki Mwingine Ajue,Yaani Yale Yale ya Roma mkatoliki,Mimi Ni Nani Kama 2002 nilimuua baba Yake Roma.

Ni Kazi Sana ila kubashiri Leo kupo ili ule mkeka na Mkeka Ni huu,Ipo 33 kichwa ,Kitua34 na 35 ama siyo 36.

Mwanangu Ommy wa Kubeti anasema Katika Miaka ya Kuanzia 2012 alipoambiwa na Roma familia ikikata Ringi mtunze Mama yako ipo 2025-1991 utapata 34 na hiyo 33 mwamba Wa upanga yaani sikuja kuleta Amani Duniani ila Upanga na Upanga umeshasimama nao Ni huu, Mtakapoliona chukizo la Uharibifu Alilolinena Daniel limekaa Mahala pake Basi hapo ndipo mtamwona Mwanaudongo akija kutoka Mawinguni ama siyo Mashariki ya 6 na Kuthibitishwa na Vatican kuwepo hizo siku 2300 na kuitafta nyongeza ya Siku 1290 ili kuikabili utashi wa Kijana Mahususi na Msiri Huyo wa Ngoja Kwanza usifany Hivo kitenge leo Dubai Mtaa wa Bastola nakuzungumzia wew uliyeuleta ama huu mkeka.

Nimeiona Mahala pako 35 Basi Muungano Ni Muhimu hasa 2wakorinto12.

Ndo hayo ya Panzi wa Nape,Aje anipe Marks Zangu maana baada ya majuma 62 nilionekana Kama sikuomba hayo majuma Saba.

Nimekumbuka Kitu Kongo na Sudani ya Fransisco hiyo baada ya Chadema Mwanza. Nitawaambia Hilo Juma moja lijalo Kama litajumlishwa na hayo Basi Tena,Asiyejifunza Hapa maana Aliyetaka Aongezewe Mda Bungeni Kafanyeje?
Thanks.
 
Back
Top Bottom