Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Nape katibu mwenezi jamani mbona kimya? je unaumwa huwezi kuongea?
Leo nimeona ITV watu wanarudisha kadi za ccm na Tshirt na vitenge imenisikitisha sana
Tumebaki vijana wachache ambao tunatetea chama chetu ukimya wako unasababisha
vijana wengi kukata tamaa:doh:
Mytake
1. Nape omba Ruhusa na wewe uanza kampeni nchi nzima
2. Naomba uendelee kutoa tamko juu ya mambo yanayoendelea
Caution:
Chama chetu kikiendelea hivi na sisi tutaama muda si mrefu
:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Leo nimeona ITV watu wanarudisha kadi za ccm na Tshirt na vitenge imenisikitisha sana
Tumebaki vijana wachache ambao tunatetea chama chetu ukimya wako unasababisha
vijana wengi kukata tamaa:doh:
Mytake
1. Nape omba Ruhusa na wewe uanza kampeni nchi nzima
2. Naomba uendelee kutoa tamko juu ya mambo yanayoendelea
Caution:
Chama chetu kikiendelea hivi na sisi tutaama muda si mrefu
:glasses-nerdy::glasses-nerdy: