Nape kama ninavyokumbuka aliwahi kusema chanzo cha cc magamba kukosa ushindi wa kishindo mwaka jana ni pamoja na kuwa na wanachama wasiowakweli, na ili kukomesha hali hii alisema kuanzia sasa (wakati ule) wanachama wanaotaka kuingia katika gamba lazima wawapeleke darasani ili wafundishwe kabla ya kupewa kadi. sasa hawa anao wapa kadi anapozunguka mikoani anawapeleka shule saa ngapi? Pia niwaulizeni wenzangu huyu bwana anafanya kazi za kuwaletea maendeleo watu wa wilaya aliyopewa kusimamia saa ngapi?