Akasisitiza wao wapo tayari kusema tuandamane hadi ikulu kuindoa serikali na hawaoni aibu amani endapo itapotea! Akasema serikali haiwezi kulikubali hilo, naye Nchemba akasema walimu wanaposimamia uchaguzi wakumbuke kuwa wao ni watumishi wa serikali na endapo CDM isingesaidiwa na walimu basi CDM ingepata kura 1000!
Akasisitiza wao wapo tayari kusema tuandamane hadi ikulu kuindoa serikali na hawaoni aibu amani endapo itapotea! Akasema serikali haiwezi kulikubali hilo, naye Nchemba akasema walimu wanaposimamia uchaguzi wakumbuke kuwa wao ni watumishi wa serikali na endapo CDM isingesaidiwa na walimu basi CDM ingepata kura 1000!
Interesting! Waalimu waliisaidiaje CDM? kwakukataa kuchakachua ama kwa kuipigia kura? CCM ikumbuke taasisi ya muhimu na yenye mtandao mkubwa nchini na wanao form more than 50% ya civil servant ni waalimu (primary aschool); hao ndiyo hasa wanaweza wakaifikisha elimu ya uraia kote nchini....CDM please capitalize on this statement muone jinsi mtakavyopata breakthrough huko vijijini. Hakuna taasisi yeyote inayoaminiwa na watu vijijini kama waalimu na shule. Nimetembea vijiji vingi Tanzania kufanya tafiti mbalimbali na mara zote ushirikiano na waalimu ndiyo ulionisaidia maana wanajua each and every thing katika vijiji waliomo; viongozi wanaowajibika na wababaishaji; resources za kijiji; households zilizo active na innovative etc.
dada..! hii ni nje ya sred...! Hivi Halima Mdee hana account hapa JF ? Sisi wapiga kura wake wa Jimbo la Kawe tungependa naye awe engaged kwenye mijadala humu ndani kama wewe na Zitto! pongezi zenu!Si bure lazima Nape atakuwa na problem,uwezo wake wa kufikiri unapungua Siku hadi Siku..Tumuombee jamani arudi kwenye Hali yake ya zamani..