Nape ni kiboko ya wafuasi wa Cdm.
Kwanza U-DC nlishaacha siku nilipoteuliwa katibu wa NEC. Kwahiyo kupanda majukwaani kwasasa si tatizo.
Kuhusu nilichofanya Masasi, sijisifu lakini nenda leo au tafuta mtu aliyeko Masasi atakuambia, na hakika si rahisi kunisahau pamoja na kukaa miezi nani tu.
Maneno gani yanageuzwa? Hata hiyo siku ya kikao na wahariri, tulielezea kilichotokea,tatizo watu wanachukua maneno ambayo hayajatolewa ufafanuzi, na jana nimesisitiza UAMUZI na MJADALA WA NEC VIME REKODIWA kwa MOVING kamera na ndo maana wanaosema ni maamuzi ya Nape na Chiligati si wajumbe wa NEC. Bado nashauri subirini tushindwe kuwafukuza....
Funika kombe mwana haramu apite lakini kwa CCM hapiti anaendelea kuwatafuna watanzania...na swali letu kwa Nape ni kamati kuu haja kaa bado au siku 90 hazijaisha au alisema miaka 90 hatukumwelewa watanzania nape huna jeuri ya kuwavua magamba wakongwe wa CCM maana hata wewe ni sehemu ya walionufaika na rushwa........
Hawa jamaa (ccm) na kinara wao ni opportunists. Hawajali wananchi wana matatizo gani ya msingi. Wanachojali ni namna gani wanaweza kupata umaarufu kupitia utendaji wao bila kujali impact kwa wananchi. Ndiyo maana siwezi kushangaa kusikia eti serikali ya ccm imenunua laptop kwa ajili ya wanafunzi wote nchini na kuacha hospitali hazina madawa na vitendea kazi muhimu. Usanii wa aina hii unafanana sana na ule wa mkuu wa nchi kukaa kwenye mkeka na kujifanya anamsikiliza kwa umakini mlemavu. Anachotafuta hapo ni kuonekana "mtu wa watu" na siyo kumsaidia mlemavu.View attachment 74040
Hili la msingi kabisa wameshindwa itakuwa swala la kompyata mashuleni sahau....bado huja pita mashuleni kuna shule moja hapa Bunju B nilipita juzi nilishangaa kweli ni Dar lakini watoto wana kaa chini na hakuna sakafu halafu wana leta propaganda za kipumbavu eti wataleta kompyuta....
Nimeamua kuja mwenyewe. Nashangaa wakati mwingine maana ni hapa ndo watu walisema Nape kashazibwa mdomo kama vile yale ni maamuzi ya Nape binafsi.
Jana nimewakumbusha tu watuhumiwa na wapambe wao si busara kujifariji kuwa maamuzi yatabadilishwa nje ya vikao, na vikao vyenyewe ni lazima iwe ama NEC au Mkutano Mkuu(Congres) na si vinginevyo.
Kuna hoja hapa eti kwamba Nape anabwabwaja tu, hakuna vitendo, let's be objective,hivyo vitendo ni vipi? Taarifa ya utekelezaji wa maamuzi haya itatolewa kwenye kikao kijacho cha NEC na si siku 90 kama wanavyojaribu kueleza hapa. Tumelieleza sana hili la siku,WAANDISHI TENA BAADHI ndo walitafsiri siku tisini kutoka kwenye ratiba ya vikao vya NEC ambavyo Dodoma tulikubaliana tentively tunaweza kukutana July ndo wakahesabu na kusema siku tisini. Lakini hakuna kikao kinakutana exactly kwa muda ulopangwa,kuna flexibility.
Ushauri subirini NEC ikutane mtuseme tukishindwa kufukuza.
NAPE naamini kabisa ya kuwa wewe ni kijana wa chama tawala unaekubalika kwa watanzania kwa kiasi kikubwa hilo halina ubishi. NINGEFURAHI SANA kama ungetoa ufafanuzi kwa kile kinachoaminika ya kwamba umenyanyapaa kabila fulani mbele ya waandishi wa habari. SIO SIRI hizi taarifa za kunyanyapa kabila fulani zimetushtusha hata sisi ambao tumekuwa tukikuamini ya kuwa wewe ndio kijana pekee ndani ya CCM mwenye kuweza kuvuta kadamanasi (ORATOR)
Umejaa pumba wewe, sasa wanangoja nini kumvua hilo gamba?usimsahau kinana mzee wa meno ya tembo...
- Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli
- John Samwel Malecela
- Philip Mangula
- Gavana wa Benki Kuu (BoT), Marehemu, Dk. Daudi Balali
- Mbunge wa Bariadi, Andrew Chenge (CCM)
- Basil Mramba aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Rombo (CCM) na Waziri
- Gray Mgonja aliyekuwa Katibu Mkuu mstaafu, Hazina
- Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Patrick Rutabanzibwa
- Nazir Karamagi aliyewahi kuwa Mbunge
- Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM)
- Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz (CCM)
- Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa (CCM)
- Rais mstaafu, Benjamin Mkapa
- Rais wa Sasa, Jakaya Kikwete
Umejaa pumba wewe, sasa wanangoja nini kumvua hilo gamba?
Itakuwa hivi - Lowasa mgombea Urais, Chenge waziri mkuu mtarajiwa, Rostam mshauri, Kinana waziri wa wanyamapori n.k., Karamagi usafirishaji -sera kuu ufisadi kwa kwenda mbele!
Kwanza U-DC nlishaacha siku nilipoteuliwa katibu wa NEC. Kwahiyo kupanda majukwaani kwasasa si tatizo.
Kuhusu nilichofanya Masasi, sijisifu lakini nenda leo au tafuta mtu aliyeko Masasi atakuambia, na hakika si rahisi kunisahau pamoja na kukaa miezi nani tu.
Maneno gani yanageuzwa? Hata hiyo siku ya kikao na wahariri, tulielezea kilichotokea,tatizo watu wanachukua maneno ambayo hayajatolewa ufafanuzi, na jana nimesisitiza UAMUZI na MJADALA WA NEC VIME REKODIWA kwa MOVING kamera na ndo maana wanaosema ni maamuzi ya Nape na Chiligati si wajumbe wa NEC. Bado nashauri subirini tushindwe kuwafukuza....