DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 1,486
- 2,739
Wazir wa Habari kama anaamini Kuna uhuru wa vyombo vya habari na Uhuru wa kutoa maoni alafu anatumia FAKE ID ni kichekesho
wewe utakuwa mgeni humu nape yupo humu siku mingi sana ID yake ni jina lakenape npo hapa nakutzma tu
Nape NnauyeWaziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa jamii forums.
Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.
Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.
Nafuatilia youtube
Na ukiona mtu amekataliwa na mungu huyo ni............?Ukiona mtu amekataliwa na JPM ujue huyo ni takataka
sawawewe utakuwa mgeni humu nape yupo humu siku mingi sana ID yake ni jina lake
Jibu muruwaa.Na ukiona mtu amekataliwa na mungu huyo ni............?
Ataipitia hii kabla ya kulala
DuhNape Nnauye ni kweli ni mwanachama wa muda mrefu JF ila hana ngozi ngumu kama anavyotuaminisha.
Hii Nape Nnauye upo poaNape Nnauye ni kweli ni mwanachama wa muda mrefu JF ila hana ngozi ngumu kama anavyotuaminisha.