Chigwiyemisi
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 531
- 225
Katibu mwenezi wa CCM Nape Nnauye yuko live Star tv anadadavua kwa makini taratibu za uchaguzi ndani ya CCM.
Hivi sauti ya Nape huwa haiwezi kupungua kwa namna yoyote ile? Jamaa anaongea kama yupo kwenye jukwaa la propaganda
Mkuu unataka magamba wafe mara ngapi? Mbona tayari wanaendelea kuzikwa na M4C.
Bado itakula 2!JAPHET said:tumpa;shida ya chama ... ni kujifanya hawaoni
Hapana! Shida tunatumia "ujinga" wenu watz.
Amesema wanajipanga kwa umakini wasije kuanguka 2014 & 2015 halafu wawe wapiga kelele!!!
Kuna mchangiaji mmoja (Ruhuza) kamtahadharisha wajitahidi kurudisha vijana chamani maana kiuhalisia asilimia kubwa sana wamekimbilia CDM.....jambo ambalo mwenzake (katibu wa ccm Kinondoni) kalipinga kwa nguvu akidai yeye anafahamu hali halisi mitaani kwamba vijana karibu wote bado ni ccm!!! Maajabu ccm hayaishi
Kwa mtindo huu wa uchaguzi wa ccm CHADEMA ikulu hiyooo!
Uchaguzi huu ndio mwanzo wa kifo cha CCM.
Kwa mtindo huu wa uchaguzi wa ccm CHADEMA ikulu hiyooo!
Nape Janga la Taifa.