MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
Oh kwahiyo atazunguka hadi KILIMANJARO ? watu wanamsubiri na huo Mdomo wake Mchafu nani atamlinda ??
CCM wanaufanya URAIS kama vile kwenda kumaliza Darasa la Saba
Atadhubutu hayo anayazungumzia Lumumba akitoka hapo anaenda mtwara na lindi.