Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,369
- 33,015
Tangu ile halmashauri ya CCM ikae Dodoma mwaka jana sijamsikia tena huyu msemaji wa chama tawala? Je wamemziba mdomo asiseme chochote au keshawekwa kwenye payroll ya Lowasa?
Matukio mengi ya kisiasa yanatokea nchini sijamsikia nape akitoa maoni yake kama ilivyo desturi yake!
Nape uko wapi?????????
Matukio mengi ya kisiasa yanatokea nchini sijamsikia nape akitoa maoni yake kama ilivyo desturi yake!
Nape uko wapi?????????