Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
atufuate tutamshauri kuhusu information technology, usage and privacy - unapoandika kitu kwenye mtandao basi ujue mtu yoyote duniani anaweza ku-access so long ana internet.
hata mimi nilishangaa wakati jamaa anapost kwenye facebook - duh hata viongozi wenzake wa CCM wakiona hizo post watajisikiaje?
aige mifano ya vijana wenzake kama akina Zitto, Mnyika aone njisi wanavyotumia mtandao.
Kwa mfano wengi tuliokuwa hatukujui kwa ukaribu tulifikiri kijana ni jembe lakini duh......
yaani ni aibu tupu kwenye wall post ya Nape teh teh teh hata mdogo wangu aliye darasa na nne facebook wall yake ameilinda haiezi kufanana na ya Nape