Nape JF sio sawa na Facebook

wabongo njaa zitawaua, we sema umepewa ngapi uje hapa ulete ukatuni wako.

Hiyo siyo hoja unaokusumbua ni ule ule ufinyu wa kuchambua hoja! Kama hujaelewa basi! kinachokuuma ninini? Wewe umeng'ang'ania nimepewa ngapi kuliko kuangalia hoja na kujadili hoja, si huwa unajiita mtaalamu wa kujibu kwa hoja? Acha kuzoza kitoto weka hoja!
 
Hawana tofauti na maana ya maneno haya lipo HERI/AFADHALI yote yana maana moja ni kama mazambarau hili limeiva sana hili limeiva kiasi lkn yote mazambarau.

Nikweli make leo inasemekana kibonde katoa lugha isiyofaa studioni!
 
Mkuu sijakubaliana na wewe kuhusu kuacha kutumia Mitandao ila namshauri nape atumie kama katibu mwenezi wa ccm, asifanye ujinga kabla hata hajapost anaweza kushauliana na wenzake kwanza! but kwa sasa naona kama yupo chini sana huwezi ukaenda kupata mawazo ya kujenga kwa Nape, anaweza kuangalia post za Zitto Kabwe, Dr Slaa, Mnyika, Malecela jr, n.k halafu awe anapost kama wao na asikimbie kwenye mijadala hiyo, kama afanyavyo sasa. JF SI YA KITOTO KAMA FACEBOOK WALIOPO HUMU NIWATU WANAOJUA MAMBO NA KUYATAFAKALI! sasa inakuwa afadhali ya M.S tena wakati yeye ni Kiongozi, na nibora asingeandika jina lake tujue ni jinga flani hv!

uKIMUIGA tEMBO KUNYA KIMBA KUBWA LAZIMA UPASUKE MSAMBA; aliona akina Dr Slaa, Zitto, Mnyika n.k wanatuamia majina na picha zao naye akaiga. Sasa inamtokea puani yeye na Chama cha Magamba.
 
Kumbuka kwamba, Wana wa Magamba katika kikao chao kilichowateua akina Nepi kuwa viongozi moja ya mikakati waliyojiwekea ni kujiingiza kwenye mitandao ya Kijamii ili waweze kupambana na point za Watanzania wenyeuchungu na Nchi yao ili wao waendelee kuwanyonya wakishirikiana na Mafisadi. Hii ndiyo sababu iliyomrudisha Nepi kwa nguvu kuja kujibu hoja na Kuanzisha thread ambazo kwa Mtazamo wa Ki-CCM wanaona kwamba zinaweza kuzijibu hoja nzito zinazotelewa na watu wenye vichwa vya kuona umbali zaidi ya umbali wa pua zao kama anavyoona Nepi.

Kwa hoja anazotoa Nepi, akizitoa CCM ambapo wenye elimu na ajira za Mashaka ndipo kimbilio lao na kwamba waliopo kule ni wale Yes men/women, zina uzito, lakini zikija huku kwa watu tunaoona mbali tunaona tu ni kama za mtu wa Darasa la tano.
 
Producer mbuzi, ushauri kaa nao mwenyewe, we sema upewa ulfu ngapi na rostam uje ulete upuuzi wako hapa

Haa!!,kumbe ccm mnalipana kuupindisha ukweli?Asante kwa kutuanikia uovu wa ccm yako na watendaji wake thx anyway
 
RACHEL, hawa wamekisaliti vipi CCM? Mimi nadhani hatuwezi kuwaweka hawa sehemu moja na SIMWANA. Nadhani mkubwa wao aliogopeshwa na mlisho nyuma kuwa CHEL walikuwa na muswada kuwa sio lazima Rais akalie kiti cha chama. Hivyo akaanza kutafuta njia ya kuwatoa kabisa lakini kumbe aliyepewa usukani wa kuendesha hilo jahazi hajakomaa vizuri. Na hili litarudi tu kung'ata mkiani!
Tunatumia muda mwingi kwa kuwajadili akina RACHEL badala ya kuangalia matatizo ya wananchi na jinsi serikali inavyoyatatua au inavyoshindwa kuyatatua ili tutoe hukumu ya kweli 2015 badala ya kuwajadili watu wachache ambao kwa mawazo yangu mmoja wao akipewa nchi hii ataipeleka mbali kwa maendeleo kwani ni mtu ambayo anafuatilia mambo na hapendi porojo. Hao wanaoitwa wasafi ni akina nani ndani ya CCM? Hakuna hata mmoja, shida tu ni kwamba ndani mwao wamezidiana uwezo wa kuongoza na kuwa na mali.

Nape yuko kwenye mkutano UDOM akitoka tu stand yake ya kwanza ni hapa! atakuja kusoma vyoooooooooote!
 
mimi binafsi kwa kutumia akaunti yake ya facebook huyu bwana nape nimeweza kufanikiwa kujua hata maishayake ya ndani ya familia yake......nimejua ni jinsi gani ana ugomvi na mke wake na anavyo mnyanyasa lakini pia kujua mambo mengi yanayohusu ccm maana nimeweza kuingia hata kwenye mail zake zote anazotumia .........

na kwa kuwa hajui mambo ya technolojia huyu jamaa yaani hajui kitu.........kuna siku ntamlipua sana hadi atashangaa........maambo mengi yako kwenye mail zake na zote ......sasa hivi natafuta namba yake ya simu kama kuna mtu anayo anipm.....
 
mimi binafsi kwa kutumia akaunti yake ya facebook huyu bwana nape nimeweza kufanikiwa kujua hata maishayake ya ndani ya familia yake......nimejua ni jinsi gani ana ugomvi na mke wake na anavyo mnyanyasa lakini pia kujua mambo mengi yanayohusu ccm maana nimeweza kuingia hata kwenye mail zake zote anazotumia .........

na kwa kuwa hajui mambo ya technolojia huyu jamaa yaani hajui kitu.........kuna siku ntamlipua sana hadi atashangaa........maambo mengi yako kwenye mail zake na zote ......sasa hivi natafuta namba yake ya simu kama kuna mtu anayo anipm.....

Kama ni mwenye kujifunza tayari atajifunza sana tu
 
Hiyo siyo hoja unaokusumbua ni ule ule ufinyu wa kuchambua hoja! Kama hujaelewa basi! kinachokuuma ninini? Wewe umeng'ang'ania nimepewa ngapi kuliko kuangalia hoja na kujadili hoja, si huwa unajiita mtaalamu wa kujibu kwa hoja? Acha kuzoza kitoto weka hoja!
Hakuna hoja hapa, wewe na ka barua njaa kako ni dalili wazi za kutumwa na Mbulushi, hivi wewe utamshauri nini Nape? Eti producer, mi nakushauri ubadili jina na ujiite muimba taarab.
 
Kumbuka kwamba, Wana wa Magamba katika kikao chao kilichowateua akina Nepi kuwa viongozi moja ya mikakati waliyojiwekea ni kujiingiza kwenye mitandao ya Kijamii ili waweze kupambana na point za Watanzania wenyeuchungu na Nchi yao ili wao waendelee kuwanyonya wakishirikiana na Mafisadi. Hii ndiyo sababu iliyomrudisha Nepi kwa nguvu kuja kujibu hoja na Kuanzisha thread ambazo kwa Mtazamo wa Ki-CCM wanaona kwamba zinaweza kuzijibu hoja nzito zinazotelewa na watu wenye vichwa vya kuona umbali zaidi ya umbali wa pua zao kama anavyoona Nepi.

Kwa hoja anazotoa Nepi, akizitoa CCM ambapo wenye elimu na ajira za Mashaka ndipo kimbilio lao na kwamba waliopo kule ni wale Yes men/women, zina uzito, lakini zikija huku kwa watu tunaoona mbali tunaona tu ni kama za mtu wa Darasa la tano.

Pointi Nape jitahidi kupitia kila topic
 
Hakuna hoja hapa, wewe na ka barua njaa kako ni dalili wazi za kutumwa na Mbulushi, hivi wewe utamshauri nini Nape? Eti producer, mi nakushauri ubadili jina na ujiite muimba taarab.

Ingekuwa kanisani ungeitwa UMEKENGUKA KIROHO.
 
Back
Top Bottom