sasa nimekubali kuwa chadema kinawafundisha kazi ccmkila kukicha ccm wanaiga mbinu za chadema hili la sumbawanga ni mfano mwingine,m4c walianzia jangwani ccm ikafuata sasa operesheni hakuna kulala imewapeleka ccm sumbawanga lakini bahati mbaya ccm hampendeki tena nape jaribu tu lakini chadema inazidi kupaa hata mkizunguka na kikwete,pinda mkuu wa majeshi hamna mvuto tena zile siku 90 za mafisadi bado zitawatesa mpaka 2015 vinginevyo kalaga bao tu pole nape:israel: