Nape azungumzia Harambee ya CHADEMA, wamjibu na kusema kakurupuka!

Nape anaweweseka baada kuona EL anarudi kwa kasi,ajipange upya ajue atajishikiza wapi EL akija kuwa mgombea na chama chake!

CCM walivyo wanafiki; watachekeana chekeana tu; kwasababu wote ni CULT wanahitaji hizo kazi; LOWASSA ataambiwa

Masponsor wa NAPE NNAUYE ndani ya CCM; Oooh Kumbe ni CULT na yataisha...
 
Kwa Mh. Nape Mnauye
Wananchi Ulanga, Kilombero wanaelewa somo na wamuomba Dr. Slaa awahutubie angalau kidogo maana wanahamu na ukombozi wa M4C, cheki clip hii fupi:

Source: chademtv ya youtube.
 
Last edited by a moderator:
Kwani CCM mbona wasianike kwa wananchi hela wanazopata kwa wafadhili? sana sana wameiingiza nchi kwenye hasara na umasikini mkubwa kwa kutumia hela za wananchi kwenye uchaguzi wakimtumia Rostam kama mgongo wao. Tena wananuka hawatoweza kamwe kujisafisha. Let Chadema takes a lead coz CCM mmezeeka haswaa!
 
ha ha..hawa jamaa si ndio walisema kuwa CDM ni ombaomba, kwa vile wamepigwa chini na wafadhili?Si ndio hawaliandaa deal ruzuku ipigwe chini ghafla CDM waamke bila hat nauli ya kwenda kunako wpaiga kura.Si ndio hawa walisema sabodo kachoshwa na ufisadi CDM.


sasa imekuweje:
-Sabodo anamwaga mkwanja kama kawa.
-Sadaka inakuwa kubwa mabilioni.Ila ukichukua idadi ya watanzania (let say 10,000,000)waliochangia na ukiwapa aveage ya mchango wa 1,000/= each .Una 10,000,000,000/= which is plausible.
-wafadhili nao wanamwaga mabilioni-Ndio tunalezwa na CCM.

NINACHOSHANGAA NI KUWA CCM WAPO KAMA KIBARAKA WA CDM au watumwa enzi za babu zetu, uankuta waafrika kibao na mibunduki wapo porini wanamrishwa na Master wa mlevi asiye mwafrika.Wana ilani yao ila kilasiku wanaahidi kuifuata kuanzia kesho lakini vitu vipo vingi ku -catch up na CDM .Si inajulikana kesho ni ya manyani haifiki na hawa jamaa hawajui ni kwanini, sijui wandhani CDM WAMEMWOMBA MUNGU DUNIA ISIZUNGUKE ILI UPANDE WA CCM USIKUCHE.Sasa CCM wapo madarakani ila wanalia kama walivyokuwa wakiwaliza akina Mtikila na vyma vingine vilivyobaki historia.Kweli Slaa na Ndesa ni noma, waliwaambia jama wameapiga mabomu nchi haitotawalika, sasa imekuwa hadi zaidi, kila kitu hakishikiki katika mikono ya CCM.

NAKUMBUKA KILIO CHA JK KUWA CDM WANFANYA MAMBO ILI KUM DESTRUCT ASIFUATE ILANI YA CCM NA MENDELEO YA NCHI."MASIKINI DUNIA IMEGOMA TEMBEA CCM IKIWA GIZANI-KESHO YA CCM HAIFIKI ILI ILANI YA MIUJIZA YA CCM IFANYE KAZI".someone has to tell this guys that it time to defect.
 
Tuitishe kura hapa JF kati yangu mimi na wewe ni nani taahira.Nadhani mkuu Matola anajua naongea nini.

Molemo,
Kura utashinda si mataahira kwa mataahira mtapigiana nimesema mpo wengi sana ndani ya JF; bado nakusisitiza tafuta shughuli mjini hapo, au mwambie mama yako Josephine akutafutie kazi ya kueleweka

Chama
Gongo la mboto DSM
 
kama sikosei CCM ndio wanaongoza kwa dhifa za kuchangishana... sasa sijui na wao wanakua tayari wameshapata pesa hivyo wanatuhadaa.... kitabia mwizi siku zote huhisi anaibiwa
 
Molemo,
Kura utashinda si mataahira kwa mataahira mtapigiana nimesema mpo wengi sana ndani ya JF; bado nakusisitiza tafuta shughuli mjini hapo, au mwambie mama yako Josephine akutafutie kazi ya kueleweka

Chama
Gongo la mboto DSM

Lazima wewe ni kichaa ninakusamehe bure.Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuandika ulichoandika.Hakika unahitaji maombi.
 
Zitto amejitokeza sio kwaajili ya chama bali maneno ya Nape yamemchoma,yeye ndio yuko karibu na wajerumani kwa hiyo kama kuna makubaliano yeyote au mikataba basi yeye ndio muhusika mkuu.

chuki ni mzigo wa mawe mkuu! Ktk hili Zitto kaonesha utendaji.
 
Kuna muungwana aliwahi kuleta thread ndani humu '" Chunga Ccm inapoanza kulia rafu"..! hawajamaa ukweli wameshikwa PABAYA. Na bado bwana nape,utavua hadi nguo ya mwisho muziki ukikolea sawasawa. Go Chadema, go!

Mkuu Ukwelikitugani, ukweli ni kwamba hawa jamaa pale PABAYA hapajashikwa bali pamebinywa sana ndiyo maana dogo Nape hajatulia.
 
Mwenye nambari ya huyu mtumwa wa ccm nauye nape aniwekee hapa nimpigie na nina cha kusema naye!

Hv haoni wala hajui kusoma alama za nyakati siyo.

NIWEKEENI NAMBARI YAKE YA KIGANJANI TU.

Wametutesa hv halafu wanatuambia tunasherekea miaka 50 ya uhuru.
 
Nape hebu tusaidie kuhusu mkataba wa Loliondo, jinsi mlivyotuunza. Vipi kuhusu uuzaji wa ardhi mfano huko Mpanda na Kigamboni unavyoendelea kwa kasi. Ama huna uchungu jinsi mnavyowatenda watz wanaoishi maeneo yenye utajiri mkubwa wa maliasili? Vipi mikataba ya TANESCO? Ama hujui kuwa wanyamapori waliuzwa wakiwa hai na makada wa CCM? HUO UCHUNGU LEO UMEUTOA WAPI MKUU?
 
Madai haya yaliwahi kutolewa siku za nyuma. Mabalozi walipoomba ufafanuzi Membe akayakanusha.
Nape, wewe ndiye mwenye dhima ya kutoa ushahidi wa pesa hizo na zilipotoka na zinatarajiwa kutumika vipi kuiba rasilimali.

Nape, ni mwanasiasa Kijana na wengi wanasema vijana wapewe uongozi. Huyu ni sehemu ya uwakilishi wa vijana!!
Ameacha kazi ya kueneza sera za chama na serikali yake sasa amejigeuza kuwa mwendesha mashtaka na Polisi.

Nape Nnauye anakabaliwa na mambo makubwa matatu.
Kwanza hatima yake ndani ya chama kwasababu mafisadi wamemkalia vibaya
Pili, amesalitiliwa na viongozi akiwemo mwenyekiti wake kuhusu hoja ya ufisadi
Tatu, anaona chama kinafia mikononi mwake.
Nne, wenye chama wamemsusia na sasa hajui aanzie wapi katika kazi yake

Kwa vile hana cha kuwaeleza wananchi kuhusu ufujaji, ubadhirifu na ulafi uliokithiri ndani ya chama chake, sasa amerukia cheap politics. Nape angekuwa na uchungu na rasilimali za nchi hii asingekaa meza moja na wezi waliokubuhu wa taifa hili.

Nape hajatueleza Loliondo, Kutoroshwa kwa wanyama, wizi wa migodi ya madini, ubadhirifu ndani ya halamashauri, wizi sekta ya utalii, wizi sekata ya nishati, kashfa za Kagoda, meremeta, Richmond, Dowans na sasa Umeme.
Hizo si kuwa ni rasilimali tu, bali zinahusu maisha ya kawaida ya mtu anayeishi kwa dola 1 kwa siku.
Iweje Nape ajisikie uchungu narasilimali za kusadidkika zinazotarajiwa kutolewa?

Nape, nakushauri ujikite katika kuimarisha chama chako au uandae makazi ya milele ya kifo tarajiwa cha chama chako.
Miaka 50 sasa hakuna mabadiliko, tumefikia mahali tunatamani hata mwendawazimu ajaribu.

Watanzania bila kujali itikadi zao za kisiasa wanakubaliana kuwa 'enough is enough'
 
Katibu mwenezi wa nyinyiemu n. Mnauye ameshtushwa na vuguvugu la m4c na kudai kwamba cdm inawahadaa wananchi. Jamani hivi ni kweli? Aidha wakati huo huo amenukuliwa akisema kwamba eti cdm inapokea msaada kutoka nje ya ya nchi kwa kisingizio kwamba ni michango ya wananchi kupitia fundrising? Naomba kuwasilisha ndug. Wadau
 
Katibu mwenezi wa nyinyiemu n. Mnauye ameshtushwa na vuguvugu la m4c na kudai kwamba cdm inawahadaa wananchi. Jamani hivi ni kweli? Aidha wakati huo huo amenukuliwa akisema kwamba eti cdm inapokea msaada kutoka nje ya ya nchi kwa kisingizio kwamba ni michango ya wananchi kupitia fundrising? Naomba kuwasilisha ndug. Wadau

Watasema mengi, ila moto ni ule ule.
 
Back
Top Bottom