dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Akihojiwa na star tv Nepi kadai wanalipwa kutokana na kodi za watanzania na kutowatibu ni kukosa shukrani ya kodi za watanzania. Amewataka wawatumikie watanzania kama wanavyolipwa mishahara inayotokana na kodi za watanzania hao.
Wazo langu.
Nape analipwa na nani na mshahara wake je unamuhimu kama wa mshahara wa dakatari kitaifa??
Wazo langu.
Nape analipwa na nani na mshahara wake je unamuhimu kama wa mshahara wa dakatari kitaifa??