sio nape peke ake,kuna magamba kibao yalikuwa hayamtaki sioi wa lowasa, nahic ata 'rahisi' naye ametabasamu
We hukusikia alichozungumza kwenye ufunguzi wa kampeni. Lakin kuna tetesi kwamba zile zinazoitwa kids zake ni za MRAMBA, laana hyoilikuwa vita embu acheni fix.
Unafikili mpk kumwita Mkapa hawakuchukulia serious
Kuna tetesi kuwa Nape na wenzake Kama Kumi na moja wapo ktk baa Dar wakishangilia ushindi wa CDM. Kama kuna yoyote mwenye kutupa zaidi atujuze lakini Pongezi sana wana CDM