Kuna tetesi kuwa Nape na wenzake Kama Kumi na moja wapo ktk baa Dar wakishangilia ushindi wa CDM. Kama kuna yoyote mwenye kutupa zaidi atujuze lakini Pongezi sana wana CDM
Nape alishatahadharisha mapema sana kwamba huyu Sioi hatashinda.Wangemweka Sarakikya ni wazi angeshinda.Matokeo yake wametumia rushwa ya Lowasa kama kawaida yake.Hili ni pigo kwa Lowasa na kundi lake
Hongera Nassari, kweli nimeamini "unakula CCM unalala CHADEMA" means kula pesa za CCM chagua CDM, mwanzao mzuri, Kirumba pia CDM imechukua ni raaaaahhaaaa kwa watanzania, sio kwa mafisadi!!
inanipa mzuka hiyo picha. inanikumbusha ushindi wa Halima Mdee na John Mnyika walipita Kawe ule Usiku moto bati walipofika kituo cha Polisi walipiga bonge la msele watu weweeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.