AYMAN JUNIOR
Member
- May 17, 2011
- 5
- 0
More personal issue.
tujadili mambo ya kupeleka taifa mbele...
tujadili mambo ya kupeleka taifa mbele...
Hizi zote dalili za ushoga tu. Haiwezekani kwa hali ya kawaida mtoto wa kiume upake calorite, uvae cheni na kikuku, nape unatuaibisha mtu mzima, sio kihivyo banaa! Noma hiyo.
Labda kavua gamba la nje.Naona anapendeza sana siku hizi!
Inategemea anaejadiliwa ni nani, na ana nafasi gani kwenye jamii.
Unataka kusema padre akivaa sketi asijadiliwe kwa kuwa ni personal attack? Vaa wewe chupi ya dadako, then tembea mtaani kama utaona thread yako hapa jf!