Inategemea anaejadiliwa ni nani, na ana nafasi gani kwenye jamii.
Unataka kusema padre akivaa sketi asijadiliwe kwa kuwa ni personal attack? Vaa wewe chupi ya dadako, then tembea mtaani kama utaona thread yako hapa jf!
​Jamani kwani nani kasema, skin lightening creams (mikorogo) ni kwa wanawake tu?
Hutataki ubaguzi wa kijinsia, kama baba anataka m'ngao basi na yeye ruhusa mgorogo:A S 465:
Great thinkers discuss issues and not personalities!! Msilitie najisi janvi kama hamuwezi kukunja miguu janvini nendeni mkakalie viti vya mbao!!
ha ha ha ha hapigwi jua..ila yana mwisho yotenimemuona kwenye tv kawa mweupe kama zeruzeru!jee ni ofisi imempendezesha au kiyoyozi cha landcruiser v8?
nimemuona kwenye tv kawa mweupe kama zeruzeru!jee ni ofisi imempendezesha au kiyoyozi cha landcruiser v8?
Great thinkers discuss issues and not personalities!! Msilitie najisi janvi kama hamuwezi kukunja miguu janvini nendeni mkakalie viti vya mbao!!
Anatumia karolaiti.nimemuona kwenye tv kawa mweupe kama zeruzeru!jee ni ofisi imempendezesha au kiyoyozi cha landcruiser v8?
Possibly, Midomo yake inazidi kuwa meusi as the days go
kaka umemwelimisha vizuri na kuonekana kua yeye ni F**ken great thinker coz hakulijua hilo,inawzekana anafikiri kwa kutumia masaburi.Au na yeye anatumia mambo hayo nini ndo maana anakua mkali?Inategemea anaejadiliwa ni nani, na ana nafasi gani kwenye jamii.
Unataka kusema padre akivaa sketi asijadiliwe kwa kuwa ni personal attack? Vaa wewe chupi ya dadako, then tembea mtaani kama utaona thread yako hapa jf!