huu ndio umati mkubwa uliokuwa ukisikiliza sera za nape.
Halafu Nape kapata kichogo alipoenda Iringa?
Dis information at work!
anaweza kuja hapa na akakana kuwa sie yeye maana yule jamaa kwa kuruka ndio mwenyewe. Alishawah kukana id yake then baadae unaendelea kuitumia bila aibu.
Aiseeeee! Sikujua kama ninawasumbua vichwa kiasi hichi...poleni sana!!! Ni akili tu na uzoefu ambacho mnapungukiwa! Badala ya kupoteza muda ku adobe tumieni muda kujifunza kusema ukweli
Umeona enhe, Magwanda walivyo na roho mbaya, wanawahi kuzitoa picha za mikutano yetu kabla hatujazi-edit enhe!Mbona unaleta habari za uongo kijana? Kweli Nape ana wanyima usingizi.
Nape una akili za maiti. Hongera!Aiseeeee! Sikujua kama ninawasumbua vichwa kiasi hichi...poleni sana!!! Ni akili tu na uzoefu ambacho mnapungukiwa! Badala ya kupoteza muda ku adobe tumieni muda kujifunza kusema ukweli
Aiseeeee! Sikujua kama ninawasumbua vichwa kiasi hichi...poleni sana!!! Ni akili tu na uzoefu ambacho mnapungukiwa! Badala ya kupoteza muda ku adobe tumieni muda kujifunza kusema ukweli
huu ndio umati mkubwa uliokuwa ukisikiliza sera za nape.
Ameshakana, anadai picha imechakachuliwa. Huyo ndiye Nape!
Mbona unaleta habari za uongo kijana? Kweli Nape ana wanyima usingizi.
huu ndio umati mkubwa uliokuwa ukisikiliza sera za nape.
Ameshakana, anadai picha imechakachuliwa. Huyo ndiye Nape!
Aiseeeee! Sikujua kama ninawasumbua vichwa kiasi hichi...poleni sana!!! Ni akili tu na uzoefu ambacho mnapungukiwa! Badala ya kupoteza muda ku adobe tumieni muda kujifunza kusema ukweli