Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
hahah, yaani pale ilula wale walima nyanya na wanunuzi wa nyanya walivyo wengi, unajua huu ni mji mkubwa kabisa, siamini kama angepata watu kiduchu namna hii, kama ndivyo...basi ccm wasome nyakati na majira..kiama chao kimekaribia. ilula na iringa mjini ni mbali sana, ukiona watu wamepanda gari toka ilula hadi iringa kwenda tu kuhudhuria mkutano wa chadema, ujue baasi wameelimika. hapo ilula ni jimbo la prof msola.....Hapo ni Ilula km 70 toka iringa mjini siku hiyo Jembe Zito Zubery ,Msigwa Mch,Ole milya walikuwa iringa mjin lakini makundi ya watu waliacha mkutano wa nape ilula wakaja iringa mjini kwenye mkutano wa CDM