Umeingia bonge la chaka,hujaelewa mada hata kidogo mzee! Au nawe ni mropokaji kama padiri! Ok kisiwani jamaa hakumaanisha zanzibar, alimaanisha nape kawazingira pande zote kama maji
Hapa kunaamanishwa CDM wamezungukwa pande zote; sawa na mtu aliyekimbilia kisiwa cha Mafia ukiweka mtegi katika njia zote za kutokea unamshika! Ni sawa na ujio wa Nape ulivyotikisa CDM na hoja yao ya UFISADI. CCM anashambulia NAPE peke yake ikiwaacha makomredi wengine wanapiga jaramba. CDM mchecheto hawana msemaji rasmi na kauli za kujirudia; mara wamtume Komu, Safari, Marando, Dr. Slaa, Mbowe wote ni choka mbaya kwa hoja zenye mshiko
CCM ,hawana hao watu wa kuongoza chama, professionally , hapo kuchagua NAPE, wamefikiria kweli, ndo wakamuona anafaa kuwa kiongozi wao.
Maneno kama "Chadema walizoea kuionea CCM kwa sababu hakukuwa na mtu makini anayejua kujibu hoja" sizani kama yamelenga kubomoa CHADEMA bali kuzidisha uhasama ndani ya CCM.
Nape anataka tujue kwamba kabla yake wengine wote hawakuwa makini akiwemo MWENYEKITI.
anafuata na kutimiza maelezo ya semina elekeziJamani,
Huyu bwana mdogo naona amekuja na staili inayoweza kumwingiza kwenye kundi moja la wazee wa taarabu tuliowazoea la mzee Yusufu Makamba na Tambwe Hiza. Katika siku za hivi karibuni nimeona kasi ya Nnape ya kuropoka na kubwabwaja kama kasuku imeongezeka kiasi cha kutilia shaka uwezo wake katika kukiletea mabadiliko chama chake kilichompatia dhamana ya uongozi. Sasa ameibuka na kauli yake kwamba Dr. Slaa ni fisadi! Yeye anadhani watanzania ni watoto wanaoweza kudanganywa na kauli nyepesi nyepesi hivyo!!!
Sasa nimeanza kuamini maneno ya watu waliobeza slogan ya kujivua gamba kwamba nyoka akijivua gamba anabaki kuwa nyoka. Na ndivyo ilivyo kwa ccm. Mwanzoni, nilidhani sasa tutaanza kusikia kauli zenye mashiko kutoka kwa huo uongozi mpya wa ccm ulioingia baada ya kile kilichoitwa kujivua gamba. Nilijua nyimbo za taarabu zitakuwa zimeisha. Kumbe wapi, kilichobadilika ni wanamuziki tu. Hivi ni kweli ccm imeishiwa watu wa maana wanaoweza kuongoza chama professionally?
Mapigo ya kugawa wa watanzania kwa misingi ya ukabila ni upuuzi mtupu sitaki kuamini kama Nape anaweza kutumia njia hatari kama hii akemewe kama alivikemewe na uongo waka wa siku tisininape ni mpambanaji haswa, cdm mlizoea kumnyanyasa wagosi wa kaya "makamba na tambwe hiza" hizi ni zama za kujibu mapigo.
Mapigo ya nape ni makali kiasi ambacho cdm wameona majibu kutoa slaa na mbowe hayatoshi hivyo komu, marandu na safari nao wakaingia uwanjani kumjibu nape. Ccm tupo mkao wa kula, upele umepata mkunaji, dawa ya makombora ya cdm imepatikana!!
+parachichiMzee Kuna tofauti kubwa kati ya Nape, Tambwe na Makamba. Makamba ni Mzee Tambwe ni Comedy Nape ni mtu aliyezeeka kabla ya muda wake. Umewahi kula embe, nanasi au papai lililoivishwa kabla ya kukomaa?
ccm hawakuwa na mtu makini wa kujibu hoja za Cdm sasa wamempata
Nape anamaanisha kwamba
1: CCM haikuwa hi kuwa na Mtu Makini Zaidi yake;
2: Wachaga ni Watu hatari sana na ni Lazima Waepukwe kama Ukoma Ndani na Nje ya CCM
3: Yeye anadia Mshahara wa Mukama hauzidi Milioni Tatu wakati Mukama amesema Bado hajui analipwa kiasi gani maana Mshahara bado haujaingia Benki
Wachaga Mlioko CCM, Fikiria Chukua Tahadhari Dogo ametangaza Vita Dhidi ya Wachagga
Nape kaamua kuweka silaha ya CCM hadhrani ya ukabila. haya sasa kasema yeye asingeweza kuingia CDM kwa sababu sio mchaga. Je wachaga walioko CCM inakuaje? Nape umeishiwa kiasi hicho.
Ukubwa wa umbo sio akili, chambueni elimu zao, makuzi na tabia zao ili mjue busara zao. kazi ya urithi utaijua kwa kukosa umakini
Tolowski na Mafilili,
To me you're identical twins born out of wedlock (bastards); I can't rate your IQ which am sure it rank as low as to zero minus.
I'm sure you'd argue a point that someone who fathered you was a junky and was under junk influence when he f¤>`ck~d your mother to conceive you.
watu wenye mawazo mepesi hujadili watu i;a watu wenye upeo hujadili masuaala mazito kama ufisadi na hatima ya tanzania. pole sana nape! Dr. slaa sio uzani wako. Hapo umeingia choo cha ......!