Nape sasa unajidhalilisha hivi kati ya CCM na CHADEMA ni nani alisaini mikataba ya Richmond, makampuni ya madini, TRL, IPTL,aliyeiba pesa za EPA, usisahau kashfa ya viwanda vya samaki mwanza na kashfa nyingine nyingi tu. Sijui ni mwananchi gani ambaye unaweza kumwambia CHADEMA ni mafisadi kuliko CCM akakuelewa. Naomba ujibu na hiyo ya kuchangia madawati zaidi ya miaka kumi kwa kila mwanafunzi. Acha ujinga leo utakula wewe kesho wanao wataombamba kwa sababu baba yao alikuwa kilaza hakujua ufisadi wa CCM ndio unaangamiza maisha ya watu.