Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,625
- 21,445
Naona madam Wema siku hizi anang'aa hatari maana kipindi cha hapo kati alikongoroka mpaka akawa anatisha, ila siku hizi naona MashaAllah hata vile vijembe vitapungua maana watu walizidi kumsema kwamba ameshazeeka.
Kwa muonekano alionao sasa hivi ajiandae kupokea dili kutoka kampuni mbalimbali.
Kila la heri kwake Tanzania Sweetheart.
Kwa muonekano alionao sasa hivi ajiandae kupokea dili kutoka kampuni mbalimbali.
Kila la heri kwake Tanzania Sweetheart.