professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Wakuu habari za jioni.
Ni mimi kijana mzalendo wa taifa langu, pia mwanafunzi hapa mlimani , ndugu Wana jf nahitaji kuonana na MH: Daktari Samia Suluhu Hassan nipo na project proposal ya muhimu Sana ambayo itakwenda kuliokoa taifa hili na watu wote kwa ujumla.
Najua wengi mtanidhihaki Lakini naomba mnipe utaratibu jinsi ya kuonana na Dr. Samia Suluhu Hassan.
Sihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.
Ni mimi kijana mzalendo wa taifa langu, pia mwanafunzi hapa mlimani , ndugu Wana jf nahitaji kuonana na MH: Daktari Samia Suluhu Hassan nipo na project proposal ya muhimu Sana ambayo itakwenda kuliokoa taifa hili na watu wote kwa ujumla.
Najua wengi mtanidhihaki Lakini naomba mnipe utaratibu jinsi ya kuonana na Dr. Samia Suluhu Hassan.
Sihitaji middlemen, mana naona watachelewesha kuifanyia kazi project hii.
Ni muhimu Sana document hii aipate, kama si hivyo nipeni mawasilianao ya waziri wa Elimu.