lovelove
Member
- Aug 22, 2011
- 21
- 3
nina mtoto mmoja, baba'ke naishi nae bt we are not married. Tatizo ana tabia ya uongo sana yaan ameni cheat mara kibao
hadi nimepoteza uaminifu kwake. my ex boyfriend anataka tufunge ndoa and i stiil love him coz tuliachana kwa kupotezana katika
kutafuta maisha. so wana jf nibaki na yupi kati yao?
hadi nimepoteza uaminifu kwake. my ex boyfriend anataka tufunge ndoa and i stiil love him coz tuliachana kwa kupotezana katika
kutafuta maisha. so wana jf nibaki na yupi kati yao?