Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,891
Habari za wakati huu wapendwa JF
Swali hivi serikali yetu kwenye lile jadili la bungeni kuhusu raia pacha walikuja kuruhusu mtu kama kaolewa na mzungu , nani muastralia na akapewa na mume wake huo uraia , je atabaki na huo uraia wa tz na wa Australia??
Naombeni jibu . Kwa wanaoelewa .
Swali hivi serikali yetu kwenye lile jadili la bungeni kuhusu raia pacha walikuja kuruhusu mtu kama kaolewa na mzungu , nani muastralia na akapewa na mume wake huo uraia , je atabaki na huo uraia wa tz na wa Australia??
Naombeni jibu . Kwa wanaoelewa .