Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
Huyo mtoto ni wa kwako kweli?
Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.
Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!
Inawezekana wote au inawezekana mmoja wao<br />
<br /
Sasa hapo mwizi nani? Aliyelala na jeans au aliyechana jeans ya mwenzie?
<br /><br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /<br /><br />
Sasa hapo mwizi nani? Aliyelala na jeans au aliyechana jeans ya mwenzie?
<br /><br />
<br /><br />
Mianajike staili hiyo ipo mingi tu. Ww change direction japo nahisi atakudunda. Tafuta demu sio jike dume,na hapa unahitaji will power ya kuachana na mnyanyasaji unaedhani mnaheshimiana huku akikufanya buege. Amka jamaa angu.
pole sana mpwa wangu, umeni-touch saaaana na hivyo ntakushauri taratibu sana ili tuelewane; kuna msemo unasema hivi "things once done can not be undone" so kwasasa kuuliza mlikutana wapi au mliooana ili iweje haya hayana nafasi tena. Kama utakubali kuwa hayana nafasi basi cha kufanya, washirikishe viongozi wako wa dini (angalia kiongozi na kiongozi, kuna wengine watamchukua) kisha jadilini hili kama ikiwa ni lazima sana, pili, washirikishe wazazi wa pande zote mbili hasa upande wa kwao ili waone nafasi ya kuliweka sawa, maana hata kama ni mwizi basi asiibe hadi ikawa hivyo.
Mwisho, ambalo hasa ndilo la kwanza; kaa nae jitahidi kumbembeleza lakini ukiwa na msimamo sio ubembeleze kama vile ndio unaanza kutongoza tena; mwelimishe athari zake ikiwa ni pamoja na kuwa exposed kwenye magonjwa hatari ikiwa mmoja wenu hata kuwa mkweli, kisha mweleze lile au yale mliyokuwa mnayatazamia, kuwa na ndoa yenye amani, mafanikio, mrudishe azione siku hizo, enzi zile za love sms, na endless calls, mjengee picha ayaone hayo lakini kwa upole uache jazba na kama kuna kazi ndogondogo uwe na wewe unazifanya.....kubwa mtegemee mungu maana wanadamu nao hawaaaminiki sana. Wote mseme amen
Duh....! Kwa kweli nakupa pole...! Hili ni tatizo jipya kwangu kabisa, maana kwa kipindi cha miaka 5 sasa ya ndoa sijawahi kushinda njaa kwa sababu nimenyimwa....! hata hivyo sijawahi pata manung'uniko yeyote kwa mwenzangu kuwa hajaridhia....! Nimejiuliza sana hali hii lakini bado sijapata majibu yanayoendana nayo....! Aidha, kwa kesi yako huenda kuna moja, au yote kati ya haya yafuatayo....!Nduguzanguni mficha uchi hazii au mficha maradhi kifo humuumbua. mimi ni mwanaume niliyeoa miaka 3 iliyopita, tumebahatika kupata mtoto 1 wa kiume umri 2yrs. Huyu mke wangu anasauti kuliko mimi , waswahili wanasema, yuko juu yangu. Ananiheshimu sana nami namuheshimu.
Tatizo ni kuwa kwa kuwa anasauti basi hata mambo ya ndoa/unyumba anaamua yeye lini na saa nagapi, hili limenifanya ni kose raha ya ndoa kwa sababu mimi kwa kweli nahitaji mapenzi at leat 3 times per week, yeye akiamua at least once per three weeks, unaweza kuona changamoto ninayo pitia. last two months, nilivunja ukimya- matokeo nikajaza watu, nilicho fanya- nilirarua pedo yake ya jeans aliyo lala nayo. alipiga mayowe sana, infact watu walijaa nje. nikamzuia asitoke kwenda kwao bse alitaka kuondoka usiku huo huo. jamaani ni serius case . please tusaidiane cha kufanya.!!
hapa ndipo namkumbuka Martin Lawrence ktk Badboys 1 movie,..."that is marriage, you sleep with a woman but you don't get" I know one fella had the same issue na mkewe, alitoka nje na akahakikikisha mkewe kajua, na mkewe alivyo mjinga aliitisha kikao cha wazazi eti kumshtaki mume, on a meeting mke alibwabwaja muda mrefu sana akijua anammaliza mumewe kwa sababu waliokuwepo na wazazi wa wake tu na matron na mumewe, jamaa spoke only two line, na kibao kikamgeukia mwanamke. since then mwanamke alishika adabu yake.