kweli huyu aanzishwe forum yake ya taarabu pamoja na shule ya chekecheawewe kama hutaki kunisamehe achana na mimi, jua yako na mimi nijue yangu na tena unikome kabisa
Dah! Nashukuru sana kama umeuelewa mie binafsi "NIMEKUSAMEHE" ila kwa masharti kwamba utakuwa unachangia post kwa amani. Pia namuomba sana exellent nae akusame.hongera kwa kujua kosa lako japo umeomba msamaha kama unarazimisha.
Naombeni msamaha kama ninawakwaza, ila nitaendelea kudil na nyie mpaka nirudi shule nishawaelimisha vya kutosha.
Duh umenena Slave, jamaa atakuwa gamba ila hope mods watampeperusha muda si mrefu.waombe wanaokupa kiburi na kuchekelea uozo unaotoa na hata hawakupi onyo.inawezekana wewe ni gamba la kenge sio lile la nyoka (sisiemu) unatisha mpaka mods wanagwaya.
Wala huna haja ya kuomba msamaha; li ukweli mie huwa nafurahia kukiwa na upinzani kwenye maada; inatufanya tufiri zaidi tunavyotaka kufikiri! ndo maana ya kuwa great thinker! so we endelea kukosoa ni haki yako kwa jamii!
teh ni MMEMKWAnyie hamjui huyu sio denti wala nini kibabu cha miaka 70 anatafuta misamiati mipya jinsi mnavyochangia anafanya elimu ya watu wazima ndo anasoma praimari now msameheni bure
Duh umenena Slave, jamaa atakuwa gamba ila hope mods watampeperusha muda si mrefu.
nyie hamjui huyu sio denti wala nini kibabu cha miaka 70 anatafuta misamiati mipya jinsi mnavyochangia anafanya elimu ya watu wazima ndo anasoma praimari now msameheni bure
Kaka huyu jamaa ana makusudi sana,ila tumpotezee tu.dah! Mkuu tangu nijiunge jf sikuwahi kufikri siku moja nitamjibu mtu majibu kama haya ninayo mjibu huyu gama la kenge.yaani mods wanamuona sana pengine mods wamemuweka huyo ili wamtege member flani ili iwe sababu ya kunyukwa ban.mimi kama nitapigwa ban kwa ajili ya huyu mbwa ujue sintotamani tena kuwa jf. Maana ntakuwa na jua tu jf wapo mchwa wanaoitafuna jf pole pole.