KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,584
- 8,610
Ninaombeni msaada wenu wana jf hususani Jukwaa la JF Doctor,Mimi nina mgonjwa ana limonia kali nimempeleka TMJ akapewa Rocephin certriaxone,na benzylpenicillin amemaliza dose lakini bado maumivu makali anayasikia na zaidi alikunywa mafuta ya taa bila kufahamu!!akidhani nimaji ya kilimanjaro kwakuwa yaliwekwa kwenye chupa tumepiga xray ilionyesha pafu kwa chini kidogo kolaps!!