Wana JM naombeni mnisaidie ishu ya kucomfiger mozila ili niweze kutumia mtandao free yaani bila credit. cause kuna jama kafanya hivyo na kafanikiwa anatumia modem ya Voda. kama una jua naombeni msaada wako.
Du jamaa kakudanganya kwani Mozilla ni ni mtoaji wa huduma za Internet kama Explore ambapo unaenda Google na huko ukijaza Free download utapata huduma hiyo lakini kwa kupitia provider kama Tigo, Voda, BlackBerry, Zantel, Airtel nk
Lakini utoke direct via Modem ya Voda sijawahi ngoja waje wataalam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.