Naombeni Mbinu za Kuishi na Mtu Mwenye Roho Mbaya (ROHO YA KWANINI)

Unapomchukia adui yako, haisaidii, sana sana unampa nguvu dhidi yako, dhidi ya usingizi wako, dhidi ya hamu yako ya kula, dhidi ya msukumo wako wa damu, dhidi ya afya yako, na dhidi ya furaha yako.

Adui yako anafurahi sana akibaini namna anavyokutesa na kukuumiza. Chuki yako dhidi yake haimuumizi kamwe, bali hugeuza maisha yako kuwa jehanamu ya kutosha.

Hii ina maana gani?

Ni kwamba, kamwe usimchukie mtu, kwani chuki hizo hazimuumizi huyo unayemchukia bali hukuumiza wewe mwenyewe.

Ndio maana husemwa, Adui mpende tu!
 
"Nimewekeza miaka kibao kufika hapa nlipo mwana sikuzaliwa kwenye mali ilifanya niangaike sana,sio mambo safi pua zangu zinanusa mkwanja hustler kama ali scooper natimba kila kiwanja,eii I'm the magnifical napiga kazi za hatari siogopi hata mkisema yote nshasikia tayari maneno hayawezi niua yanafanya niwe ngangari nasema inshallah kwa kila kheri na shari,wengi mmefeli mnatamani maisha yangu mnatamani mngekua mimi"

Sikiliza wimbo wa Mwana FA - Msiache kuongea:: Utapata Ushauri
 
Dawa yake we fanya maendeleo makusudi hakikisha kila siku una under go +ve development rafiki kama huyo ni mzuri kwa maendeleo yako coz muda wote anakufanya uwe makini kwa kila ufanyalo ili usimpe nafasi ya kukucheka.KWA KUENDELEA KWAKO WATU WA NAMNA HII HUWA WANAUMIA SANA .
NB:USIFANYE LIGI NAE KWENYE MAMBO YA KIPUUZI,PIA JIZUIE KUKASIRIKA we mfanye kama FUTUHI WAKO.

V'sana. Chukukua tano.
 
Wanyalu wanajua, watafute watakujuza. Na kama mpo jamvini msaidieni ili nasi tuelimike.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom