Naombeni maelezo kuhusu ving'amuzi.

Naona wako poa! Tatizo sijuhi kama wanapatikana mikoani, easytv.co.tz/packages.htm
 
Mimi nataka king'amuzi cha DSTV jamani, ebu naombeni mnijuze kuhusu Initial Basic Cost kwanza, i mean cost ya ku'instal ya Dish + icho king'amuzi kwanza, kwa maana masuala ya Packages hiyo mi nadhani itakuwa ni suala la uchaguzi tu sasa baada ya kuwa nshaotesha kitu juu ya paa ...
 
Mimi nataka king'amuzi cha DSTV jamani, ebu naombeni mnijuze kuhusu Initial Basic Cost kwanza, i mean cost ya ku'instal ya Dish + icho king'amuzi kwanza, kwa maana masuala ya Packages hiyo mi nadhani itakuwa ni suala la uchaguzi tu sasa baada ya kuwa nshaotesha kitu juu ya paa ...

kuinstall ni Tsh 149000......kulipia bundle kwa mara ya kwanza baada ya kuinstall ipo hivi.......
Tsh 16000....miezi 4.....
Tsh 32000....miezi 3....
Tsh 48000....miezi 2....
Tsh 128000....kwa mwezi.....
so ni juu yako kuamua.......ila ukilipa Tsh 128000.....una uwezo wa miezi inayofuata kuchagua bundle tajwa hapo juu na ukalipia kila mwezi........

Umeelewa....?
 
Mkuu kama una hela
yako ya kutosha DSTV haina mpinzani na picha ziko clear kweli kweli,
yaani mtu unaona kwamba Waingereza ni moto wa kuotea mbali katika
masuala ya kitekonolojia ya usambazaji wa mawimbi ya TV. We sema tatizo
linatokea wakati mvua ikinyesha nyingi mawasiliano yanakatika kwa kuwa
mawimbi ya Ku-Band yanazuhiwa na maji kirahisi.

Narudia KUSEMA TENA kwamba, ukiwa na hela yako utasikitika kununua
kingamzi na dish la DSTV.

Tatizo local channels zimejaa za kenya tu.
 
Tatizo local channels zimejaa za kenya tu.

Ni kweli, lakini kwa nini DSTV inashindwa kuweka local channels za hapa, niliwahi kuona za Uganda under DSTV - Inawezekana Watz tulivyo labda imeshindikana kufikia makubaliano kati ya Makampuni hayo na DSTV.

Nakumbuka Serikali iliwahi kutangaza tender ya kuwezesha TBC kusambaza mawimbi ya TV on behalf ya makampuni yote yenye biashara kama hizo, sasa sijuhi kulitokea nini tena mpaka ITV, StarTV, Agape na TRINET naona hawataki kujiunga na StarTimes ambayo ndio ilikuwa imepewa tenda ya kufanikisha zoezi hilo ikishirikiana na TBC!
 
tuelimisheni maana wenye mahitaji ya ving'amzi,maana tz limekuwa kama ni eneo la kufanyia majaribio ya bidhaa mbalimbali.chini ya watawala wetu.
 
Easy tv wanapatikana huku mikoani?mf Mwanza. Kwa wapenzi wa HBO na documentary za discovery channel(sipendi mpira!) ninunue king'amuzi gani?

Achana na Easy tv ni wezi wanatuuzia FTA za kibongo kwa 9000 na coverage yao ni Dar tu! Km unapenda movie/documentaries changamkia Zuku tv..hawa jamaa naona wanajtahd sana tatzo local tv chache ni TBC & ITV na mpira hakuna(except seria A,la Liga) package choice ni ww tu...coverage ni East Afrca coz wanatmia DStv
 
Back
Top Bottom