Habarin za kazi wana jamii Forum!
Kiukweli nashindwa ata nianzie wapi, nilikua na boyfriend wangu tulipendana sana na hatimae akaomba uchumba ili badae tuishi kama baba na mama wa watoto wetu,
Tulikubaliana wote kwa pamoja na tukaanza process za utambulisho kwa wazazi na kwa marafiki zetu wa karibu,
Wazazi wa yule kaka walikubali na kunieleza kwamba wamefurahi sana kwasababu walishamlazimisha kijana wao kuoa ila bila kuona mabadiliko, ila as long as amenipeleka kunitambulisha waliamini mm ndo chaguo lake.
Wazazi wakaomba sana mabo ya harusi tuyaandae mapema ili tuishi na kijana ampe nafasi mdogo wake wa kiume nae aoe, kama wengine wanavyofuata mila na desturi.
Huyo kijana ni kabila tofauti na mm ila kwa vilel tulishapendana tukaona hakuna tatizo na wazazi wake walishakubaliana nasisi.
Hivi majuzi J 3 nilisikia habari ambazo hazikunifurahisa kuhusiana na mahusiano yetu,
Yakuwa kijana katafutiwa mchumba wa kabila lake na amelazimishwa kumuoa, ila mm nilipomuuliza kijana alikataa na kuniambia ngoja aombe ruhusa kazini ili aka hakikishe hayo yanayosemwa kama ni ya kweli maana tunafanya kazi ofisi moja, nikamkubalia na ruhusa akapewa,
Alipofika nyumbani kwao akanipigia simu na kunieleza kuwa yale mabneno ni ya uongo, kwa hiyo nisijali, ila mm sikuamini alichoniambia ikabidi na mm niombe ruhusa kazini na kwenda kwao kushuhudia bila yeye kuwa na taarifa kama ningenda kwao.
Nilipofika kwao nikamkuta binti na baada ya kumuhoji yule binti akaniambia ameolewa na huyo kijana, kwa kweli niliumia sana na nikamwambia kujana kwann akiniongopea akasema alikua anasolve tatizo ili badae anipe ukweli sababu ananijua mm ninapunic sana.
Nilipofika kazini nikawaeleza watu wale walionipa yale maneno na uamuzi wangu ukawa ni kuachana na,
Aliporudi kutoka kwao akaniambia uamuzi niliochukua siomzuri na yeye amelazimishwa kuoa ila ajamkubali yule binti, ananiomba tuendelee na uchumamba wetu, ila mm bado siamini kama alimkubali yule binti au la! na ananiambia yeye ananipenda sana thats why alimkataa mchumba aliyetatafutiwa.
My question is je? nitaprove vipi kama anayonimbai ni kweli?
Na je? tukioana na wazazi wake wameshaonyesha kutokunikublai labda ni kwa ajili ya kabila tofauti tutaishi kwa amani?
Ninaomba ushauri wa hali na mali kwan niko kwenye wimbi la mawazo na yeye bado ananiomba nimsamehe kwa yote lakini tuendeleze mahusiano yetu.
Thanx in advance.
Kiukweli nashindwa ata nianzie wapi, nilikua na boyfriend wangu tulipendana sana na hatimae akaomba uchumba ili badae tuishi kama baba na mama wa watoto wetu,
Tulikubaliana wote kwa pamoja na tukaanza process za utambulisho kwa wazazi na kwa marafiki zetu wa karibu,
Wazazi wa yule kaka walikubali na kunieleza kwamba wamefurahi sana kwasababu walishamlazimisha kijana wao kuoa ila bila kuona mabadiliko, ila as long as amenipeleka kunitambulisha waliamini mm ndo chaguo lake.
Wazazi wakaomba sana mabo ya harusi tuyaandae mapema ili tuishi na kijana ampe nafasi mdogo wake wa kiume nae aoe, kama wengine wanavyofuata mila na desturi.
Huyo kijana ni kabila tofauti na mm ila kwa vilel tulishapendana tukaona hakuna tatizo na wazazi wake walishakubaliana nasisi.
Hivi majuzi J 3 nilisikia habari ambazo hazikunifurahisa kuhusiana na mahusiano yetu,
Yakuwa kijana katafutiwa mchumba wa kabila lake na amelazimishwa kumuoa, ila mm nilipomuuliza kijana alikataa na kuniambia ngoja aombe ruhusa kazini ili aka hakikishe hayo yanayosemwa kama ni ya kweli maana tunafanya kazi ofisi moja, nikamkubalia na ruhusa akapewa,
Alipofika nyumbani kwao akanipigia simu na kunieleza kuwa yale mabneno ni ya uongo, kwa hiyo nisijali, ila mm sikuamini alichoniambia ikabidi na mm niombe ruhusa kazini na kwenda kwao kushuhudia bila yeye kuwa na taarifa kama ningenda kwao.
Nilipofika kwao nikamkuta binti na baada ya kumuhoji yule binti akaniambia ameolewa na huyo kijana, kwa kweli niliumia sana na nikamwambia kujana kwann akiniongopea akasema alikua anasolve tatizo ili badae anipe ukweli sababu ananijua mm ninapunic sana.
Nilipofika kazini nikawaeleza watu wale walionipa yale maneno na uamuzi wangu ukawa ni kuachana na,
Aliporudi kutoka kwao akaniambia uamuzi niliochukua siomzuri na yeye amelazimishwa kuoa ila ajamkubali yule binti, ananiomba tuendelee na uchumamba wetu, ila mm bado siamini kama alimkubali yule binti au la! na ananiambia yeye ananipenda sana thats why alimkataa mchumba aliyetatafutiwa.
My question is je? nitaprove vipi kama anayonimbai ni kweli?
Na je? tukioana na wazazi wake wameshaonyesha kutokunikublai labda ni kwa ajili ya kabila tofauti tutaishi kwa amani?
Ninaomba ushauri wa hali na mali kwan niko kwenye wimbi la mawazo na yeye bado ananiomba nimsamehe kwa yote lakini tuendeleze mahusiano yetu.
Thanx in advance.