Obadiahmayunga
Senior Member
- Sep 19, 2014
- 163
- 109
Mimi naitwa Obadiah, jinsia mwaname, jamani naomba ushauri na experience ya kununua gemstones Tanzania na kupeleka kuuza Canada kwasababu nina VISA ya Canada na nimetafuta VISA because nataka kuwa naenda kuuza gemstones kule Canada.
Jamani najua hapa kwenye hii forum kuna wadau wenye experince ya kutosha kuhusa what are on demend gemstones japokuwa nasikia gemstones zote wananua wapi nauza kwa urahisi zaidi and iam very serious wadau i mean very serious, bei zao zikoje and et cetera.
Jamani naomba ushauri wenu wadau, please naomba sana.
Shukrani zangu za dhati kabisa
My regards
OBADIAH.M.M
Jamani najua hapa kwenye hii forum kuna wadau wenye experince ya kutosha kuhusa what are on demend gemstones japokuwa nasikia gemstones zote wananua wapi nauza kwa urahisi zaidi and iam very serious wadau i mean very serious, bei zao zikoje and et cetera.
Jamani naomba ushauri wenu wadau, please naomba sana.
Shukrani zangu za dhati kabisa
My regards
OBADIAH.M.M