Bhujegwe
Senior Member
- Nov 23, 2013
- 135
- 191
Naomba kuchukua fursa hii kuuliza juu ya mafunzo yanayotolewa vyuo vya ufundi,na kwa umuhimu wa pekee natafuta kujua ni muda upi unahusika kwa mtu kusoma hadi kuhitimu course ya Hotel Management.
Swali langu linajengwa na utata uliopo kwa vyuo hivi huku mitaani. Kuna vyuo kwenye matangazo yao vinaandika kozi ni miezi 6,vingine miez 9 na pia vipo vinavyoandika mwaka mmoja. Hali hiyo inatutatiza wazazi na kushindwa kujua kiuhalisia yupi ni mkweli na yupi si mkweli.
Nisaidieni kupata uamuz sahihi wa wapi nimpeleke kijana wangu ambaye ameonyesha nia yake ya kusoma hiyo kozi.
Ahsanteni!
Swali langu linajengwa na utata uliopo kwa vyuo hivi huku mitaani. Kuna vyuo kwenye matangazo yao vinaandika kozi ni miezi 6,vingine miez 9 na pia vipo vinavyoandika mwaka mmoja. Hali hiyo inatutatiza wazazi na kushindwa kujua kiuhalisia yupi ni mkweli na yupi si mkweli.
Nisaidieni kupata uamuz sahihi wa wapi nimpeleke kijana wangu ambaye ameonyesha nia yake ya kusoma hiyo kozi.
Ahsanteni!