Miriamemmanuel
Member
- Jan 2, 2012
- 43
- 6
Ndugu zangu wapendwa wa Jamii Forums naomba ushauri wa mawazo kwani naumia sana. Nina mpenzi ambaye nimekaa nae kwa muda mrefu sasa toka tukiwa chuo mpaka sasa ni wafanyakazi. Mwanzo sikuwa na mpenda sana lakin alinishawishi mpaka nikaanza kumpenda haswaaaaaaa, yeye ndiye alinishawishi alete barua kwetu kwaniaba ya kufunga ndoa nikakubali lakn toka siku niliyo mkubalia alete barua kwetu mambo anayoyafanya simuelewi kila muda yupo busy unapiga cm hapokei anapokea muda anaotaka yeye. Lakini nikitumia cm nyingine anapokea muda huohuo. Naombeni ushauri nifanyaje bado nampenda sana tena sana.