au ni wewe?huyu mdada mimi namjua vizuri sana ni mzuri mbali na uzuri ana umbo lakuvutia sasa nashindwa kuelewa maana waswahili wanasema kizuri hakikosi kasoro labda kuna tabia za ndani ambazo mshikaji kaziona sio, ila anasifa zote za kuwa mke.
kwani nimemdanganya ? ndo ukweliSMILE jifunze ku comment mama,this is popularite forumme!! Hekima inaitajika sana!