Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Asante maana hapa nilipo nishavua shati.
Naandaa makaburasha ya kujibu swali lako.Na wewe nakuomba umsaidie Sam kupata majibu.
Nasubiria kwa hamu kusoma jibu lako hapa! Kuhusu Sam sikujua kama amekuajiri ewe kuwa msemaji wake. Issue hapa kwa sasa ni kati yangu nawe na so far tunaelekea kuzuri - wewe kujibu swali la chama gani kiko tayari kuongoza Tanzania.