Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Unaona jinsi tunavyoenda nje ya topic? Hiki ndio ninachojitahidi kuepuka.
just as expected... topic kwako hapa ni ipi?
Wewe umeleta wazo kuwa chadema hawako tayari kuongoza nchi na ukawekwa kiti moto kama kawaida ya JF ili useme kile unachodhani kuwa kiko tayari kuongoza nchi na umeishiwa pumzi.
Narudia tena kwa upole...
cccchhhhaaaammmmaaa uuuunnnnnaaacccchhhhoooooddddhhhhaaaannnnnniiii kkkkkkkuuuuuwwwwwaaaa kkkiiiikkkkoooo tttttaaaaaayyyyaaarrrrriiiii kuongoza nchi ya Tanzania ni kipi?