Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
Nina kijana wa ndugu yangu wazazi wake wote walifariki. sasa amefaulu kuingia form one shule za kata kijijini. nilitaka kumsaidia apate shule ya boarding ya serikali ili aweze kusoma vizuri. naomba msaada procedure za uhamisho in kuwaje? Au naomba kama kuna mtu anajua shule yoyote ya boarding ya bei nafuu .
Natanguliza shukrani zangu kwenu
Natanguliza shukrani zangu kwenu