kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Nimetuma maombi yangu online ya kupata visa Tanzania kwasasa ni takribani siku 30 lakini mpaka sasa sijapata majibu kuwa visa yangu imekataliwa au kukubaliwa.
Na kawaida wanamtumia mtu message kama wamekubali au wamekataa.
Au wanamwambia mtu amekosea kujaza.
Akajaze upya tena.
Mimi sijapata jibu lolote lile.
Kama kuna mtu yeyote ambaye anaweza kuniunganisha na watu ambao wanafanya kazi pale immigration anisaidie maana mwaka juzi tu niliteseka tena ivi ivi kupata visa tena ya kuingia Tanzania
Na kawaida wanamtumia mtu message kama wamekubali au wamekataa.
Au wanamwambia mtu amekosea kujaza.
Akajaze upya tena.
Mimi sijapata jibu lolote lile.
Kama kuna mtu yeyote ambaye anaweza kuniunganisha na watu ambao wanafanya kazi pale immigration anisaidie maana mwaka juzi tu niliteseka tena ivi ivi kupata visa tena ya kuingia Tanzania