ehee kumbe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2013
- 267
- 155
Habari wana jf wenzangu
nina kamera yangu ya picha ya digital inatumia memory card kama ya simu kuhifazia picha.juzi nimeenda studio picha zilikuwa zinaonekana lakini tulipoweka memory card hiyo kwenye computer zile picha hazionekani zimefunikwa na kitu cheusi.studio wakaniambia hao ni virus na haiwezekaniki kuwa scan kwa ant-virus za kawaida mpaka uwe na program ya photo recover.naomba msaada wa kupata fee photo recover.ili nirudishe picha zangu
nina kamera yangu ya picha ya digital inatumia memory card kama ya simu kuhifazia picha.juzi nimeenda studio picha zilikuwa zinaonekana lakini tulipoweka memory card hiyo kwenye computer zile picha hazionekani zimefunikwa na kitu cheusi.studio wakaniambia hao ni virus na haiwezekaniki kuwa scan kwa ant-virus za kawaida mpaka uwe na program ya photo recover.naomba msaada wa kupata fee photo recover.ili nirudishe picha zangu