Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Mtu unaanzisha thread ili mradi tu,
Huweki details za kutosha,unaenda zako ukute umeshauriwa???:frusty::frusty:
Tafuta msichana mwingine,ila hao wazazi ni noma,labda walikuwa hawakutaki,si kawaida kwa wazazi kuimba makosa ya watoto wao bali huwaonya na kuwaombea kwa Mungu.
Huweki details za kutosha,unaenda zako ukute umeshauriwa???:frusty::frusty:
Tafuta msichana mwingine,ila hao wazazi ni noma,labda walikuwa hawakutaki,si kawaida kwa wazazi kuimba makosa ya watoto wao bali huwaonya na kuwaombea kwa Mungu.