mie nilikuwa kwenye uchumba ambao umedumu kwa muda wa miaka 2, tulikuwa na plani kiangazi che mwaka huu tungefunga ndoa. ikiwa kafumaniwa na wazazi wake mwenyewe, je mimi nifanye nii?. na sijajitambulisha kwao!
Wamemfumania na nani wakati wewe haujulikani kwao? Pnegine wewe ndio utakae fumaniwa nae manake kwao haujulikani...! Uchumba wa miaka 2 ukoje? Ni uchumba gani huo ambao haujulikani kwao?
Wa kulaumiwa sio huyo dada ni wewe manake wewe ndio utafanya afumaniwe manake unakula uroda wakati bado haujajitambulisha :frusty:
Kituko hueleweki umesema uchumba wa miaka 2 na hujulikani KWAO! kafumaniwa na wazazi ? wazazi hawafumanii wanammbamba unaweza kumfumania mkeo/mumeo tu.Muoane kiangazi kweni unaishi kijiji gani ? watu si wanaoana baada ya mavuno ?
mimi pia simuelewi.
Hao wazazi walivyomfumania wakaenda kumwambia au! Wamemwambiaje wakati yeye hajajitambulisha ukweni.
Mambo mengine bwana...
mie nilikuwa kwenye uchumba ambao umedumu kwa muda wa miaka 2, tulikuwa na plani kiangazi che mwaka huu tungefunga ndoa. ikiwa kafumaniwa na wazazi wake mwenyewe, je mimi nifanye nii?. na sijajitambulisha kwao!
Kituko hueleweki umesema uchumba wa miaka 2 na hujulikani KWAO! kafumaniwa na wazazi ? wazazi hawafumanii wanammbamba unaweza kumfumania mkeo/mumeo tu.Muoane kiangazi kweni unaishi kijiji gani ? watu si wanaoana baada ya mavuno ?
Jamaa halafu yupo kimya hawa ni wale wale wa Hit and run.
Mzima wewe Husninyo hbr za Mpwapwa.
uchumba sugu ndio faida yake.
kama ulikuwa kwenye kichwa yangu Husninyo inaelekea damu zetu ni group mojamimi pia simuelewi.
Hao wazazi walivyomfumania wakaenda kumwambia au! Wamemwambiaje wakati yeye hajajitambulisha ukweni.
Mambo mengine bwana...