Naomba msaada wa kifedha nilipie pango. Mwenye nyumba kaja kutoa vitu

Jun 19, 2012
41
47
Habar wa wakuu, heri ya mei mosi.

Mi nimekuja hapa kuomba msaada wenu , ninaashida ya shs 100,000/= , nikiasi cha pesa kilicho pungua kwenye kodi ya chumba nacho kaa, maana leo mwenye nyumba kajakutaka kutoa vitu vyangu , nikamwomba anivumilie mpaka kesho asubuh ili nimtafutie pesa yake

Ni mwanafunz wa chuo cha afya hapa Dodoma, nimejaribu kupambania kupata hela ya kulipa kodi nimepata nusu ya deni ninakiasi cha tshs 150000, bado hiyo laki moja,

Kwa upande wa mzazi kwa sasa siwezi mtegemea maana ameyumba kiuchumi, hata kumwelezea shida zangu naona ni kumwongezea mawazo tu, naomben msaada wenu tafadhali

Natumain hapa JF naweza pata msaada, natanguliza shukran zangu za dhati kwenu

Kwa chochote kile mawasiliano
0655680282
 
Tutajuaje kama kweli wewe ni mwanafunzi wa hicho chuo cha afya mwenye uhitaji na siyo tapeli tu anaetaka msaada kwaajli ya anasa zake?
Niltaka sema hilo hilo mkuu,uthibitisho muhimuu,na ukiweka jina hyo jina la humu halitakua na maana tena,labda wale waliotyr wamchek inbox,
Mkuu hongera kwa uthubutu na naimani utapata msaada kama wastahili.
 
Kwa upande wa mzazi kwa sasa siwezi mtegemea maana ameyumba kiuchumi, hata kumwelezea shida zangu naona ni kumwongezea mawazo tu, naomben msaada wenu tafadhali
Hutakiwi kumuonea huruma mzazi wako. Maana hili ni jukumu lake kukusomesha na kukulea mpaka pale utakapo jitegemea!
Wewe muongezee tu mawazo ili akili imkae sawa.

Ifikie wakati tuishi maisha kama ya Wazungu. Haya masuala ya kufyatua tu, halafu watoto wanakuja kuteseka na kusumbua watu wengine hayana tija hata kidogo.

Samahani sana mtoto/mdogo wangu 🙏 kama nitakukwaza kwa haya maneno yangu.
 
Hongera kwa kuwa muwazi na kuleta tatizo lako, nina imani wenye moyo watakusaidia mara baada ya kujiridhisha.

Matatizo hususani dharura kama hizo, huweza kumpata yeyote.
Mkuu kama nilivyo jibu ni dhalau tusamehane, tumetofautiana kwenye mapokeo, chuo ni decca na naishi NALA, vingine labda nikufuate inbox
 
Hutakiwi kumuonea huruma mzazi wako. Maana hili ni jukumu lake kukusomesha na kukulea mpaka pale utakapo jitegemea!
Wewe muongezee tu mawazo ili akili imkae sawa.

Ifikie wakati tuishi maisha kama ya Wazungu. Haya masuala ya kufyatua tu, halafu watoto wanakuja kuteseka na kusumbua watu wengine hayana tija hata kidogo.

Samahani sana mtoto/mdogo wangu kama nitakukwaza kwa haya maneno yangu.
Ni ukweli huu japo unauma. Jema katika ujumbe huu ni kuzaa watoto kulingana na uwezo wa mtu kiuchumi, badala ya kutegemea kuegemea kwa serikali au ndugu.
 
Habar wa wakuu, heri ya mei mosi.

Mi nimekuja hapa kuomba msaada wenu , ninaashida ya shs 100,000/= , nikiasi cha pesa kilicho pungua kwenye kodi ya chumba nacho kaa, maana leo mwenye nyumba kajakutaka kutoa vitu vyangu , nikamwomba anivumilie mpaka kesho asubuh ili nimtafutie pesa yake

Ni mwanafunz wa chuo cha afya hapa Dodoma, nimejaribu kupambania kupata hela ya kulipa kodi nimepata nusu ya deni ninakiasi cha tshs 150000, bado hiyo laki moja,

Kwa upande wa mzazi kwa sasa siwezi mtegemea maana ameyumba kiuchumi, hata kumwelezea shida zangu naona ni kumwongezea mawazo tu, naomben msaada wenu tafadhali

Natumain hapa JF naweza pata msaada, natanguliza shukran zangu za dhati kwenu

Kwa chochote kile mawasiliano
0655680282
mwanafunzi unakaa nyumba ya 150000/= wewe utakuwa na ndoa hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom